Tuesday, September 18, 2012

MATUKIO MBALIMBALI YALIOJIRI KWENYE SEMINA ILIYOENDESHWA NA REV. ADAM HAJJ NDANI YA VCCT KWA SIKU 8

Pastor Joyce Nkone

Rev. Adam Hajj akitoa mafundisho



"Asante Yesu kwa Wema wako"....Rev Dr. Huruma Nkone


Happy na tabasamu lenye ukuu na mwenzake

Mpendwa Naomi na mwenzake nao walikuwepo hapo ni kabla ya semina kuanza

Kaka Misana Manyama akimsifu Mungu na watumishi wenzake


Wapendwa wakimsifu Mungu

Rev. Dr. Huruma Nkone akimsifu Mungu

Sifa za Yesu zivume


Wapendwa wakimtukuza Mungu

Ni kwa utukufu wa Bwana

Safi

Mungu ni mwema

Watoto nao hawakuwa nyuma walimsifu na kumtukuza Mungu kwa kucheza pia

Add caption

Elisha akimtukuza Mungu na wapendwa wengine

Sifa kwa Bwana

Johnson akiwaongoza wenzake katika kusifu na kuabudu


Rev. Dr. Huruma Nkone akimsifu Mungu

Upendo Nkon

Rev. Adam Hajj na mkewe wakiteta na mtoto


Upendo Nkon akimtambulisha Johnson kwamba ni mmoja kati ya washiriki walioshiriki kweny albamu yake

Johnson na Mwimbaji wa nyimbo za kumsifu Mungu Upendo Nkon

Upendo wa Yeu ukitawala


Daniel na Fredy



Wapendwa katka Bwana wakisifu na kuabudu














baba na mwana

Kulikoni?...kila mmoja alikuwa busy

Fredy na Christina

Fredy na Daniel baada ya ibada ya pili kuisha jumapili

Tabasamu lilitawala kila mahali siku hiyo

Daniel na Jackie

Ni kwa Neema ya Bwana


Papaa Ze Blogger akiwa na Fredy

Rev. Dr. Huruma Nkone akiwa mazabahuni



Rev. Adam Hajji na mkewe

Dada Miriam Lukindo akiserebuka







Tabasamu lenye utukufu wa Bwana lilitawala kwa wapendwa




Hapo wapendwa wakingoja kupewa baraka za mwisho siku ya mwisho ya semina


No comments:

Post a Comment