Thursday, September 27, 2012

SOUL BREAKFAST SEASON II EPISODE IX

Kwa nini uwe ni mtu wa kuhadithiwa kila mara? Ni baada ya mwezi mmoja kupita Program ya Wanafunzi wa rika zote pamoja na wadau mbalimbali hapa mjini hujulikana kama SOUL BREAKFAST iliyokuwa ikiongozwa na Kijana mwenye vipaji lukuki si mwingine bali ni Samuel Sasali 'Papaa Ze Blogger' aliyatawala madhabahu na Mada ya THINK DIFFERENTLY ,MAKE A DIFFERENCE.

Septemba 29 mwaka huu, mishale  ya saa 8:30 Asubuhi kutafungua uku wa Season II Episode IX ndani ya Kanisa la  VICTORIA CHRISTIAN CENTER wengi hupenda kutumia kifupisho cha VCC...lililopo eneo la Victoria Petrol Station.

Safari hii madhabahu yanakwenda kutawaliwa na mwongozaji mwingine machachari ambaye ni Director of Women Ministry Mrs Florence Mbago atakuja na mada isemayo ENJOYING YOUTHOOD IN CHRIST.

No comments:

Post a Comment