Thursday, August 30, 2012

MJENGO MPYA WA MHE. MCHUNGAJI GETRUDE RWAKATARE ULIOPO MBEZI BEACH DAR ES SALAAM..

Muonekano wa mbele wa hekalu la Mchungaji Rwakatare

MC Haris Kapiga wa Clouds FM akiwa na Mchungaji

Mc Harris Kapiga akiwa kazini.

 

Watu wakijiachia

Kabati la vyombo

Akiwa katika ofisi yake ya nyumbani, kuna sehemu ya kufanyia mikutano, Salon, Studio, na sehemu ya mazoezi.

Wakati wa msosi

Wadau wakijiachia kwenye moja wapo ya kochi  la kifahari mjengoni humo

Mambo ya dressing table

Mchungaji Getrude Rwakatare amehamia rasmi katika nyumba yake mpya iliyoko Mbezi Beach jijini Dar es Salaam pembezoni mwa bahari ya Hindi. Inaripotiwa kuwa waumini wa kanisa lake wapatao 300 walifika mahali hapo kwa kushuhudia nyumba yake hiyo ya kifahari.

Kabla ya kuhamia kwenye hekalu lake jipya Mch. Mh. Getrude Pangalile Rwakatare alikuwa akiishi Mikocheni B katika nyumba nyingine ya kifahari pia.

Picha na Ruma Africa


No comments:

Post a Comment