Tuesday, September 25, 2012

Aflewo Nairobi Ni Next Level.

Tamasha la Kusifu na Kuabudu  Africa Lets Worship (AFLEWO) linalojumumisha baadhi ya Nchi za Afrika mwanzo wa weekend hii yaani siku a Ijumaa katika Jiji  la Nairobi nchini Kenya lilifanyika na kuhudhuriwa na Idadi kubwa ya watu katika kumsifu na kumtukuza Mungu.

Baadhi ya vikundi mbalimbali vya uimbaji vilikuwepo kuhudumu katika Tamasha hilo,bila kusahu Wachungaji mbalimbali kutoka nchi jirani katika kuwakilishi katika Tamasha hilo lisilo kuwa na tofauti za kidini wala kikabila bali kwa lengo la kuinua Sifa mbele za Mungu na kuomba kwa ajili ya Bara la Africa na Viongozi wake.

Miezi kadhaa iliyopita lilifanyika Dar-es-Salaam Tanzania,na baadaye kufanyika sehemu mbalimbali za Nchi na majiji mbalimbali Barani Africa ikiwa ni kwa lengo la Kuunganisha watu kwa nia ya Kusifu na Kuabudu Nchi hadi Nchi na Mwaka hadi Mwaka.


The Voice Wakienda Sawa.
Ilikuwa full anointing watu wakideep katika maombi

Bass Guitar in Action Aflewo  2012

Aflewo Praise and Worship Team 2012


Pastor Safari kutoka DPC Dar es salaam Tanzania, akitoa Neno Aflewo Nairobi 2012

Ilikuwa Fullshangwe

Africa Lets Worship (Aflewo ) Nairobi 2012

 Sehemu Ya Umati Wa Watu Waliohudhuria Aflewo Nairobi.

 Praise Team Ya Tanzania Wakiwa Jukwaani.


Ni Wakati Sasa wa Watanzania Ku Support Events zetu hasa Makampuni Ya Kikristo.

 Watu wakipokea anointing

Hapo kazi ilipamba moto

 Bila Shaka Ayalikuwa mambo yetu Yaleeeeee

Wazee Wa Kazi The Voice From Tanzania Wakifanya mambo Jukwaani.

Watu Wakiwafurahia The Voice Jukwaani.

Aflewo Team Kutoka Tanzania Ikiwa Jukwaani

 Mwenyekiti wa Aflewo Tanzania Geofrey Obiero akiwa ndani ya Aflewo Nairobi

 Hii nahisi Ilikuwa Ruka Kimasai....John Kagaruki akiwa hewani na Pastor Safari Wakati wa Kuongoza Praise Ndani Ya Aflewo Nairobi.

No comments:

Post a Comment